Budget 2016/17 Day One; Kutokuwepo Wapinzani Madhara Yaonekana

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,431
73,078
Kwa mara ya kwanza katika historia, Budget ya serikali iliyopitishwa na bunge imeonekana na mkanganyo na mapungufu siku ya kwanza kuanza kutumika.

Ongezeko la VAT 18% katika miamala ya kibenki imeleta mkanganyo kati ya BOT, TRA na Mabenki katika kutafsiri sheria iliyopitishwa kutokana na mapungufu yake na kuleta shida kwa wananchi.

Ikumbukwe budget hii na sheria zake zimepitishwa kwa kishindo na wabunge wa CCM kwa kishindo bila tafakari ya kina huku wapinzani wakiwa nje kwa kufukuzwa na wengine wote kususia.

Sasa ndio pengo la kutokuwepo bungeni wale wabunge wanaohoji kipengele kwa kipengele ndio linaonekana. Tulikuwa tunaona watu kama Lissu,Zitto, Mnyika nk wakionekana kama wabishi kwa kuhoji na kufanya marekebisho ya msingi kumbe hilo ndio lilikuwa linaepusha aibu kama hii ya SIKU YA KWANZA kuchanganyana BOT, TRA ,mabenki na wananchi.

Jee ni mapungufu mangapi yataibuka jinsi siku zinavyoenda? Hii ni kwamba Naibu Spika Tulia amesababisha kuwa na mitafaruku ya budget 2016/17 kwa kutokuwepo watetezi makini na wenye weledi kujadili katiba.
 
Kama hao ukawa walijua ni watetezi kwanini hawakuwaweka wananchi mbele kufanya walichotumwa kwanza wao wakatoka bungeni...nao ni wazembe
Walihengewa mazingira ya kushindwa kutoa hoja zao pamoja na kupigania haki yao hiyo. Ila wananchi sasa wataona tofauti na hasara ya kuzuiwa kwao na uwepo wa idadi kubwa ya wabunge wa ccm isivyo na faida zaidi ya kusema ndio
 
Kama hao ukawa walijua ni watetezi kwanini hawakuwaweka wananchi mbele kufanya walichotumwa kwanza wao wakatoka bungeni...nao ni wazembe
Tuna shida sana
1. Tunaingiza ubishani wa uchama wakati wote tunajuwa hili la VAT linatuchanga.
2. Kulikuwa na kikao kati ya TRA mabenki kisa ni hiyo VAT
3. Kuna mkanganyiko mkubwa sana kwenye kuelewa miamala ya hela kwenye simu...

Soma hapa, ni sehemu ya huo mchanganyiko
Gavana Prof.Ndulu:Mabenk yapo Sahihi
 
Hapo ndo uvilaza unaonekana wa wale walio na idadi kubwa bungeni zimepigwa meza na posho wanakula mpambano kumbe bado na hiyo vat lazima tuikabili tu hakuna namna kila kitu ni siasa na kutanguliza maslah ya chama badala ya Taifa


Vat is a tax on consumer spending
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, Budget ya serikali iliyopitishwa na bunge imeonekana na mkanganyo na mapungufu siku ya kwanza kuanza kutumika.
Ongezeko la VAT 18% katika miamala ya kibenki imeleta mkanganyo kati ya BOT, TRA na Mabenki katika kutafsiri sheria iliyopitishwa kutokana na mapungufu yake na kuleta shida kwa wananchi.
Ikumbukwe budget hii na sheria zake zimepitishwa kwa kishindo na wabunge wa ccm kwa kishindo bila tafakari ya kina huku wapinzani wakiwa nje kwa kufukuzwa na wengine wote kususia.
Sasa ndio pengo la kutokuwepo bungeni wale wabunge wanaohoji kipengele kwa kipengele ndio linaonekana. Tulikuwa tunaona watu kama Lissu,Zitto, Mnyika nk wakionekana kama wabishi kwa kuhoji na kufanya marekebisho ya msingi kumbe hilo ndio lilikuwa linaepusha aibu kama hii ya SIKU YA KWANZA kuchanganyana BOT, TRA ,mabenki na wananchi.
Jee ni mapungufu mangapi yataibuka jinsi siku zinavyo enda? Hii ni kwamba Naibu Spika Tulia amesababisha kuwa na mitafaruku ya budget 2016/17 kwa kutokuwepo watetezi makini na wenye weledi kujadili katiba.
We Mkanganyiko huo Lissu angeuzuiaje?
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, Budget ya serikali iliyopitishwa na bunge imeonekana na mkanganyo na mapungufu siku ya kwanza kuanza kutumika.
Ongezeko la VAT 18% katika miamala ya kibenki imeleta mkanganyo kati ya BOT, TRA na Mabenki katika kutafsiri sheria iliyopitishwa kutokana na mapungufu yake na kuleta shida kwa wananchi.
Ikumbukwe budget hii na sheria zake zimepitishwa kwa kishindo na wabunge wa ccm kwa kishindo bila tafakari ya kina huku wapinzani wakiwa nje kwa kufukuzwa na wengine wote kususia.
Sasa ndio pengo la kutokuwepo bungeni wale wabunge wanaohoji kipengele kwa kipengele ndio linaonekana. Tulikuwa tunaona watu kama Lissu,Zitto, Mnyika nk wakionekana kama wabishi kwa kuhoji na kufanya marekebisho ya msingi kumbe hilo ndio lilikuwa linaepusha aibu kama hii ya SIKU YA KWANZA kuchanganyana BOT, TRA ,mabenki na wananchi.
Jee ni mapungufu mangapi yataibuka jinsi siku zinavyo enda? Hii ni kwamba Naibu Spika Tulia amesababisha kuwa na mitafaruku ya budget 2016/17 kwa kutokuwepo watetezi makini na wenye weledi kujadili katiba.
This time tuna upinzan OVYO kupata kutokea.
 
We mbumbumbu kweli kweli!
Mkanganyiko huo Lissu angeuxuiaje?
Unajua kwa nini bunge linakaa kama kamati kujadili kifungu kwa kifungu? Pale ndio umahiri wa wabunge wanaofanya research unapoonekana na hilo wabunge kama Zitto,Lissu, Mnyika tulikuwa tunawaona wakipigania vifungu vyenye utata kama huu na sio hawa waliokuwa wanasema ndioo kwa kila jambo
 
Mnaongelea Bajeti ya KIDIKITETA eti, Nimeamini jasiri haachi asili.Asili ya wanaume wa KISUKUMA ni Madikiteta, waulizeni wanawake walioolewa na Wasukuma watawaambia.
WASUKUMA inaweza kuwa ndo Mara ya kwanza na ya mwisho kutoa kiongozi wa ngazi ya juu katika ardhi hii ya Tz.Hilo mkae mkijua kabisa hivyo na wala msijisumbue kugombea tena after this one.
 
Hapo ndo uvilaza unaonekana wa wale walio na idadi kubwa bungeni zimepigwa meza na posho wanakula mpambano kumbe bado na hiyo vat lazima tuikabili tu hakuna namna kila kitu ni siasa na kutanguliza maslah ya chama badala ya Taifa


Vat is a tax on consumer spending
Sioni dalili ya ile ahadi ya kumkomboa mnyonge!. Kumbe ilikuwa danganya toto. Sasa hivi kutugeuka.hatare sana
 
Mnaongelea Bajeti ya KIDIKITETA eti, Nimeamini jasiri haachi asili.Asili ya wanaume wa KISUKUMA ni Madikiteta, waulizeni wanawake walioolewa na Wasukuma watawaambia.
WASUKUMA inaweza kuwa ndo Mara ya kwanza na ya mwisho kutoa kiongozi wa ngazi ya juu katika ardhi hii ya Tz.Hilo make mkijua kabisa hivyo na wala msijisumbue kugombea tena after this one.
Si alisema tutalimia meno? Au hamkumelewa. Any way. Ila wa kumlaumu ni Jk kwa kutufanya tumaini ambacho yeye mwenyewe hakukiamini.tunasubiri akabidhiwe huo uenyekiti ndo atumalize kabisa. Mitaani ni vilio, watu hawana raha kabisa. Mzee JK Kwani tulikukosea nini?
 
Back
Top Bottom