Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Thamahani hivi ww ndiye yule mthanii?..
Mthanii yupi tena huyo
hadithi hii inatufundisha nini
Na bado utakutana na kiziwi..............!
hadithi hii inatufundisha nini
Bubu jana kaniendesha balaa. Kama kawa Bubu kafungasha mzigo ki ukweli kadidadisha. Mbaya zaidi ni bubu wa kitaa. Jana nikakutana naye mtaa fulani hivi nikaimbisha kwa mikono akaelewa. Nikamvuta taratibu mpaka G-house mchezo wa segere ukaanza, ki ukweli sifa apewe Bubu kila pande za Tanzania nilizungushwa. Sasa baada ya segere kwisha kimbembe kilianza, Bubu anataka wekundu 5. Nilimpa mwekundu 2 bubu kakomaa. Hapo lugha ngongona, bubu kashika nguo zangu sauti inapaa. Nilichoka hoi bin taabani ikanibidi nimwite muhudumu kidogo anajua lugha yao. Bahati nzuri akakubali kunipa nguo kwa makubaliano niende nikamchukulie wekundu 2 la sivyo atakuja kwa nyumbani kwangu kuleta sokombingo. Mimi nikenda fasta kwa ATM kuchomoa nikamletea hiyo pesa. Walahi Mabubu watata
hadithi hii inatufundisha nini
niliwahi kusikia kuwa watu wenye ulemavu wana utamu wa ajabu,
nazidi kuona kuwa kuna kila aina ya ukweli.
unajuaje kama ndo kiziwi mwenyewe?