Kwa udsm ni ngumu sana kuhama kozi za education kuhamia hizo zingine hasa kama hiyo ya hr uliyoisema.
Education in science ni kozi nzuri tu, ajira zake zipo za kumwaga tu,sema ajiandae kwa misuli mirefu sababu masomo mengi yako CONAS huko na huko conas ni pagumu as wana kitu inaitwa departmental GPA.wengi huwa wanafeli