Bsc. Crop production and managent(SUA)

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,205
Reaction score
6,782
Habari za wakati huu wadau wa elimu..?

Naomba kuuliza kuhusu hii course cha "CROP PRODUCTION AND MANAGEMENT" kutoka pale SUA maana nasikia ni course mpya.. So kama kuna aliyeanza kusoma hii kozi toka mwaka Jana aje anipe dondoo kwa ujumla kuhusu hii kozi pale kwa Sokoine.
 
Achana na course si zisizo na kichwa Wala miguu utapata tabu kitaa
 
Sua kuna horticulture inayo deal na mboga mboga. Ila hii naona kama ina deal na mazao yote tofauti na ilivyo hortuculture.

Nenda ukiwa unajua unachofanya, usije rudi kabla ya dakika 90 hazijaisha.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Sua kuna horticulture inayo deal na mboga mboga. Ila hii naona kama ina deal na mazao yote tofauti na ilivyo hortuculture.

Nenda ukiwa unajua unachofanya, usije rudi kabla ya dakika 90 hazijaisha.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa, nafasi ikipatikana inabidi kupambana kufa na kupoma
 
iyo ipo goo
 
cheki website yao af angalia maelezo ya koz husik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…