Lites zinauzwa sana sababu watu wanakunywa nyingi.
Faida kubwa kwa wauzaji. Ndo maana zinaletwa lites ili watu wanywe nyingi.
Unakunywa safari 5 unalewa wakati ukinywa lite zinafika 10 ndo unaanza kulewa.
Nani anafaidika hapo?
BTW, watu wanakunywa kvant, konyagi wanashindwa Safari?