Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Brenda Rupia ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Februari 21, 2026.
#Lissu si muhaini, sote twalijua hili. Hii ni akili mbovu ya huyo samuya mwenye div 0. Kwa akili yake mgando anajua anawadhoofisha wapinzani na kutukomoa cc watanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.