Vita ya Chama cha demokrasia na maendeleo dhidi ya amri iliyotolewa na mahakama kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam kupiga marufuku kufanya shughuli zozote za kiutendaji kwa muda, kauli iliyotolewa leo Juni 10, 2025
===
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Brenda Rupia, na Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita wameonesha mashaka yao kwa Mahakama kuhusiana na namna inavyoendesha shauri lililofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, ambapo leo, Jumanne Juni 10.2025 Mahakama imetoa amri ya kuzuia kwa muda shughuli zote za kiutendaji na oparesheni za chama hicho hadi hapo shauri la msingi litakaposikilizwa
Soma Pia: Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA
Source: Jambo_online_tv
===
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Brenda Rupia, na Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita wameonesha mashaka yao kwa Mahakama kuhusiana na namna inavyoendesha shauri lililofunguliwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar Saidi Issa Mohamed na wenzake wawili (2) dhidi ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu wa CHADEMA, ambapo leo, Jumanne Juni 10.2025 Mahakama imetoa amri ya kuzuia kwa muda shughuli zote za kiutendaji na oparesheni za chama hicho hadi hapo shauri la msingi litakaposikilizwa
Soma Pia: Rasmi, Mahakama yapiga marufuku shughuli zote za CHADEMA
Source: Jambo_online_tv