BREAKING NEWS:
Msajili wa vyama vya siasa nchini Judge Francis Mutungi amemrejesha Prof. Lipumba katika nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha CUF na kutangaza kutowatambua viongozi wapya walioteuliwa kukaimu nafasi mbalimbali zilizokuwa wazi baada ya kusimamishwa kwa baadhi ya viongozi wa CUF.