Breaking news:prof maboko asalimu amri udsm.

Continue students? Siyo Continuing Students? Hata instructions mnazopewa na chuo hamzisomi nini? Kazi kweli kweli.
 
Someni vijana,ila msikubali kutumika kama Magamba wanavyofanya kwa wanachuo wachache wenye njaa ya pesa.Nyie ndo chachu ya mabadiliko.
 
we rejao acha kuzingua vijana aisee
watasomaje bila bumu? acha hizo peleka uccm wako kwenye jukwaa la siasa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…