Mlipuko umetokea katika basi au karibu na basi huko Jerusalem dakika chache lizizopita. Hadi sasa mtu mmoja(??) amefariki na majeruhi wengi.
Niwieni radhi kwa kukosea spelling hapo juu
Source;aljazeera
naona Wapalastina wamechoka kukaa salama. hesabu yetu ni ilelile haibadiliki: myahudi mmoja akifa = tunauwa wapealastina 8