M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
- Thread starter
- #21
Kuvaa raba za rojamila, maradona, ziko na DH na kaunda za mchelemchele. Wadada walikua nacraba flani nyeusi zina shingo kidogo zinaitwa Loso, basi nikiwa std 4 nikaiba za sister nikaenda kuchezea mpira. Kwa kuwa ni kijijini na almost watoto wote mnacheza peku, nilikamua sana siku hiyo tukashinda 5-2 na mi nilifunga matatu. Sasa kw kuwa raba zilikuwa laini sana na watoto wa kijiji wako sugu zilichanika vibaya mno. Kilichonikuta huko home sina hamu ya kusimulia leo aisee
Haha. Hilo janga la loso lilishanikuta...na nilivaa za bibi...wee!!