M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
Wale wenye hizo title hapo juu waliozaliwa miaka ya 1978-84..walikuwa wana sifa za pekee ambazo ukiziona tu unawajua. Yaani zile za kumfanya aonekane mtu 'mjanja'. Mi nitataja baadhi kisha endelezeni.
Wanaume:
1. Kuvaa suruali za 'Tokyo, Van Basten'
2. Kubeba mabegi ya 'Montana'
3. Kutembea na 'walkman'
4. Kuchomeka t shirt au shati kwenye mkanda.
5. Kuvaa raba oversize
6. Kunyoa kwa kuchonga nywele za pembeni tuu.
7. Endeleza...
Wanawake:
1. Kuchoma nywele kwa kifuu/kigae
2. Kuvaa magauni/sketi za ngazi 3 na kuendelea.
3. Endelezeni nimezisahau ghafla nyingine.
Wanaume:
1. Kuvaa suruali za 'Tokyo, Van Basten'
2. Kubeba mabegi ya 'Montana'
3. Kutembea na 'walkman'
4. Kuchomeka t shirt au shati kwenye mkanda.
5. Kuvaa raba oversize
6. Kunyoa kwa kuchonga nywele za pembeni tuu.
7. Endeleza...
Wanawake:
1. Kuchoma nywele kwa kifuu/kigae
2. Kuvaa magauni/sketi za ngazi 3 na kuendelea.
3. Endelezeni nimezisahau ghafla nyingine.