Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
wadau nimejaribu kuperuzi siajona thread ya mtu akiwasifu CCM kwa hatua waliofikia ya kujisafisha mbele ya watanzania, naomba niwe wa kwanza kuwapa BRAVOOOOOOO
wamesikia kauli za walalahoi na wapenda mabadiliko na wameyafanyia kazi, wamefanya mabadiliko pasipo chama kufa, kubomoka wala kuyumba kama tulivyo taraji hii imethibitisha ukomavu mkubwa wa kisiasa
BRAVOOOOOOOOOO CCM BRAVOOOOOOOOOOO
wamesikia kauli za walalahoi na wapenda mabadiliko na wameyafanyia kazi, wamefanya mabadiliko pasipo chama kufa, kubomoka wala kuyumba kama tulivyo taraji hii imethibitisha ukomavu mkubwa wa kisiasa
BRAVOOOOOOOOOO CCM BRAVOOOOOOOOOOO