Brand new nokia n9 zinauzwa.

Brand new nokia n9 zinauzwa.

Misterdennis

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2007
Posts
1,741
Reaction score
481
Nimetumwa na mjasiriamali mmoja nimtangazie biashara yake.

Anazo NOKIA N8, anauza kwa 250,000/=

Kama unahitaji send me a PM, nikutumie namba yake ya simu. Yuko based DAR

Nawasilisha.

MASAHIHISHO:
wakuu, simu ni Nokia N8, sio N9 (made in Finland) kama nilivyoambiwa awali.
Samahani sana kwa usumbufu!
 
Mkuu, unaweza kuweka specs zake, hiz simu huwa zina camera nzuri sana; na bei yake ni nzuri kama ni original!
 
specs vipi,inafungua ms word,excel?
 
hao da, hao da!
xie xie ni da bhang zhu......

Hizo sio za kwa Premier Wen Jiabao na Hu Jintao?
 
Nimetumwa na mjasiriamali mmoja nimtangazie biashara yake.

Anazo NOKIA N8, anauza kwa 250,000/=

Kama unahitaji send me a PM, nikutumie namba yake ya simu. Yuko based DAR

Nawasilisha.

MASAHIHISHO:
wakuu, simu ni Nokia N8, sio N9 (made in Finland) kama nilivyoambiwa awali.
Samahani sana kwa usumbufu!

mkuu label ya made in finland isikutishe hizo za bandikwa tu sio ishu hzo simu mchina kazichakachua knoma na watu wamelizwa saana na bei sawa na uliotaja na kushuka
 
Hu jin'tao labda upeleke Rukwa au Mpanda kwa wakulima wa mpunga
 
Kama kweli ni mpya basi kwa hiyo bei inatia mashaka kama hizo n8 ni origino
 
Back
Top Bottom