Boss bei huwa napanga kutokana na mzigo nilivonunua. Usihofu ntakujulisha hata nikiwa kule ila mara nying mashine zangu hazizidi laki nane bro. Ko ni kutokana na ubora wa mashine naweka na nauli yangu kidogo. Siuzii tamaa mzee
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
aloo mkuu baraka607, huko ughaibuni unakoenda unaweza kupata mzigo wa tablet original ya samsung galaxy 10.1"?Boss bei huwa napanga kutokana na mzigo nilivonunua. Usihofu ntakujulisha hata nikiwa kule ila mara nying mashine zangu hazizidi laki nane bro. Ko ni kutokana na ubora wa mashine naweka na nauli yangu kidogo. Siuzii tamaa mzee Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
aloo mkuu baraka607, huko ughaibuni unakoenda unaweza kupata mzigo wa tablet original ya samsung galaxy 10.1"?
ok mkuu, AM WAITING.Yap bro huwa zinapatikana ila bei ndo mpaka nikiwa nimepata huwa napanga. Ntakujulisha nikiipata ili kama utakua willing kubuy nikuchukulie. Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums