E enny mchuz Member Joined Feb 23, 2013 Posts 33 Reaction score 1 Apr 2, 2013 #1 Jaman naomba kuuliza kazi ya brand ambassador inakuwaje,na yeye anaingia Kitaa kutafuta wateja au?
R ronere Member Joined Jan 30, 2013 Posts 12 Reaction score 2 Apr 2, 2013 #2 yaan sina hamu ni hzi post za ambassadors, utazunguka mpaka, ninashida n job lakini hapana
E enny mchuz Member Joined Feb 23, 2013 Posts 33 Reaction score 1 Apr 2, 2013 Thread starter #3 Unazunguka sana,interview maswali yakoje,nifanyije interview then nalala mbele
resh Senior Member Joined Feb 18, 2013 Posts 181 Reaction score 36 Apr 3, 2013 #4 Nimewah fanya hiyo kazi kwa muda fulani,mizunguko mingi bt kwa kampuni nlofanyia sikuwa naingia mitaani kutafta wateja
Nimewah fanya hiyo kazi kwa muda fulani,mizunguko mingi bt kwa kampuni nlofanyia sikuwa naingia mitaani kutafta wateja
E enny mchuz Member Joined Feb 23, 2013 Posts 33 Reaction score 1 Apr 4, 2013 Thread starter #5 resh said: Nimewah fanya hiyo kazi kwa muda fulani,mizunguko mingi bt kwa kampuni nlofanyia sikuwa naingia mitaani kutafta wateja Click to expand... Waweza japo kunipa mbali yanayoulizwa kwenye interview maana kesho nina hyo interview kwenye non profit enterprises fulan
resh said: Nimewah fanya hiyo kazi kwa muda fulani,mizunguko mingi bt kwa kampuni nlofanyia sikuwa naingia mitaani kutafta wateja Click to expand... Waweza japo kunipa mbali yanayoulizwa kwenye interview maana kesho nina hyo interview kwenye non profit enterprises fulan