Ndo umekuja kunitangaza huku JF? sawa bwanaView attachment 1231209
Kuna watu wachafu jamani sijui wanajisikiaje kuna mkaka namfaham nilipita maeneo anakoishi akaniita nimsabahi aisee sebuleni vijiko vipo juu ya sofa yaan vumbi
Nikajiuliza anaona hali ya kawaida kuishi hivii nikamsalimia nikasepa
Kuna wadada pia ni wachafu ukiingia ndani mwao unaweza kosa hata pa kupumulia yaan o2 hakunaa sijui wana matatizo ya akili
Uchafu hauvumiliki kwa kweli safi sana kwa wanaume walio wasafi kuanzia miili yao mpaka wanapoishi
Kama huwezi fanya kuna watu wanatafuta hizo kazi anakuja anakufulia,anadeki anapanga vitu vyote na kusafisha kila kitu muwe mnawaita hata hao jamani
Hilo lakitandani linatosha hayomengine simuhimuKinachokuchanganya zaidi utakuta jamaa yuko vizuri kitandani lakini huku kwingine ndio matatizo. Sasa hapo upo Crossroad
Duuu Umepiga picha kwenye jalala? Aisee anayeishi humo atakuwa na matatizo ya afya ya akili.Ndo umekuja kunitangaza huku JF? sawa bwanaView attachment 1231209
Ubishi tuliumbiwa ndio maana hata hatuwezi kukubali bila ku prove.....Kweli. Na pia hanisumbui sana kama ex wangu. Hajawahi kunionyesha hanipendi au dharau. Shida ipo kwenye uchafu na ubishi.
Kwa kweli I don't think if there is anything we can do about it kwa sababu wanaume hawataki kukosolewa wala kuambiwa ukweli na wanawake yaani wameshajiwekea kuwa wao ndiyo wako sawa siku zote
Cute b ukija kwangu ..unaweza ukamuach jamaa...Yan c vitu vya gharama Ila nko vizur Sana kwnye maswala ya usafi na mpangilioWewe mi mtanashati.
Natural hair ndo zile kipilipiliiiii maana degireeee zangu kidogo sijui kama naruhusika kujua kitu.Hapana. Nina natural hair
Duh nani kaona msuwaki uko standby ukisubiri kutumika as soon as possible.Ndo umekuja kunitangaza huku JF? sawa bwanaView attachment 1231209
Sio kweliwanaume wengi sana wapo hivyo, kazi kwako