asante chisora kwa kulitemea mimate liguruwe
asante chisora kwa kulitemea mimate liguruwe
Tuwe makini na comment zetu. Siku chache zilizopita tulikuwa pamoja kupinga ubaguzi ambao Luis Suarez aliuonyesha kumuelekea Patrice Evra.Inakuwaje leo tunafurahia hili tukio?? Where is our sportsmanship?? Au kwa sababu ni mtu mweupe kafanyiwa hivyo??
Isitoshe kuhusu Evra yalisemwa tuu maneno kulikuwa hakuna ushahidi yanikifu... Ila kuhusu huyu Dogo kumtemea mate na kumchapa kibao huyu mzungu kitendo kilichoonyeshwa na TV zote then wewe unakuja na comments zako za kibaguzi, kijinga na kitoto... Oooh God,