Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 762
Mkuu, nataka kumi vp utaniuzia kwa bei gani?
Kama ni za uturuki basi samahani mkuu, mimi nilidhani ni zile za made from china, lakini hata hivyo bei hiyo bado ni kubwa kwa nguo ya ndani.Hizi zinatoka uturuki kabisa ndugu kuna ndugu yupo kule anatuma mzigo ndo tunasambaza kaka bado ofisi maalumu