Boxer za kiume mzigo mpya umewasili

Boxer za kiume mzigo mpya umewasili

mgonjwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
514
Reaction score
223
PURE BOXER ,PURE COTTON KUTOKA UTURUKI MZIGO MPYA UMEWASILI BEI ELFU 6500 TU KWA REJA REJA JUMLA NICHEKI PRIVATE WA DSM TUNAFIKISHA ULIPO MKOANI TUNATUMA , BOXER SAFI KABISA
1470668870045.jpg
1470668892163.jpg
 
Hizi sio zile nyepesi, zinazouzwa buku tatu mzee?
 
Hapana mkuu hizo ni tofauti kabisa na hizo kama upo dsm , nikuonr uone mzigo utakubali
 
Hizi zinatoka uturuki kabisa ndugu kuna ndugu yupo kule anatuma mzigo ndo tunasambaza kaka bado ofisi maalumu
 
PURE BOXER ,PURE COTTON KUTOKA UTURUKI MZIGO MPYA UMEWASILI BEI ELFU 6500 TU KWA REJA REJA JUMLA NICHEKI PRIVATE WA DSM TUNAFIKISHA ULIPO MKOANI TUNATUMA , BOXER SAFI KABISA
Nimekuuliza kitu huko private kama ulivyoelekeza toka jana hujajibu, sijui private gani ulioandika tukucheki?
 
me nataka za Germany vipi ntapata, Uturuki Miyeyusho.
Jamani niwape siri, hizi nguo nguo na vitu vinginevyo vidogo vidogo wazungu wote wananunua China, India, na kwingineko labda na Turkey, Egypt nk nk, hivyo ukikutana na yenye nembo made in US au UK au Germany basi hizo fake wanataka kuwala hela zenu maana wanajua mnashobokea vitu vya Europe. Nilishawahi uziwa socket za umeme naambiwa zinatoka UK wakati mie nilikuwa UK sijawahi sikia hata hilo jina la kampuni na nikajaribu kugoogle hapakuwa na kampuni au vifaa vya umeme yenye jina lile online.
 
Jamani niwape siri, hizi nguo nguo na vitu vinginevyo vidogo vidogo wazungu wote wananunua China, India, na kwingineko labda na Turkey, Egypt nk nk, hivyo ukikutana na yenye nembo made in US au UK au Germany basi hizo fake wanataka kuwala hela zenu maana wanajua mnashobokea vitu vya Europe. Nilishawahi uziwa socket za umeme naambiwa zinatoka UK wakati mie nilikuwa UK sijawahi sikia hata hilo jina la kampuni na nikajaribu kugoogle hapakuwa na kampuni au vifaa vya umeme yenye jina lile online.
Mkuu. hivi boxer zenye nembo ya kelvin clain wanazozivaaga na kuzitangaza fame people e.g Obama+Justin bieber+David beckham+Drake zinatengenezwa wapi vile???
 
Mkuu. hivi boxer zenye nembo ya kelvin clain wanazozivaaga na kuzitangaza fame people e.g Obama+Justin bieber+David beckham+Drake zinatengenezwa wapi vile???

ni vema umemuuliza maana sometimes ni vizuri kutumia ukweli kuliko hadaa...
 
Jamani niwape siri, hizi nguo nguo na vitu vinginevyo vidogo vidogo wazungu wote wananunua China, India, na kwingineko labda na Turkey, Egypt nk nk, hivyo ukikutana na yenye nembo made in US au UK au Germany basi hizo fake wanataka kuwala hela zenu maana wanajua mnashobokea vitu vya Europe. Nilishawahi uziwa socket za umeme naambiwa zinatoka UK wakati mie nilikuwa UK sijawahi sikia hata hilo jina la kampuni na nikajaribu kugoogle hapakuwa na kampuni au vifaa vya umeme yenye jina lile online.

Acha upopoma wewe hizi porojo na chai zako peleka Facebook.
 
Mkuu. hivi boxer zenye nembo ya kelvin clain wanazozivaaga na kuzitangaza fame people e.g Obama+Justin bieber+David beckham+Drake zinatengenezwa wapi vile???

Teh teh teh teh akikujibu kuna Bia zako 3 hapa.
 
Jamani niwape siri, hizi nguo nguo na vitu vinginevyo vidogo vidogo wazungu wote wananunua China, India, na kwingineko labda na Turkey, Egypt nk nk, hivyo ukikutana na yenye nembo made in US au UK au Germany basi hizo fake wanataka kuwala hela zenu maana wanajua mnashobokea vitu vya Europe. Nilishawahi uziwa socket za umeme naambiwa zinatoka UK wakati mie nilikuwa UK sijawahi sikia hata hilo jina la kampuni na nikajaribu kugoogle hapakuwa na kampuni au vifaa vya umeme yenye jina lile online.
Acha ushamba wewe unahaibu biashara ya watu ili iweje? kwa taarifa yak huyo jamaa nishafanya nae biashara hizo boxer ni pure cotton nzito sna tofaut na zile za kkoo zinazouzwa buk 4 nne ukifua mara moja tu kwisha habari....
 
Hizo wanazovaa wakina obama , justin bieber , beckham zinatoka china mkuu
 
Mkuu. hivi boxer zenye nembo ya kelvin clain wanazozivaaga na kuzitangaza fame people e.g Obama+Justin bieber+David beckham+Drake zinatengenezwa wapi vile???
Made in China, USA hawana viwanda vya textile na kama hauniamini niambie kimoja unachokijua na kipo wapi???
Naweza kwenda malls zote kubwa nikupigie pics za labels za nguo uone ni made in where, CHINA!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom