wakiwandani
New Member
- Nov 13, 2020
- 3
- 1
Wana jf napenda kuwatangazia kwamba nahitaji kununua pikipiki aina ya Boxer 150 / XL 250. Hivyo kama kuna mtu anauza pikipiki yake naomba tuwasiliane.
Bajeti yangu ni Tshs 548,590/=
Nb
= vielelezo vya uhalali wa umiliki vitaitajika kuwepo wakati wa mauziano
= Ingine isiwe na dosari
Mawasiliano
Njoo pm kwa mawasiliano zaidi.
All the best.
Bajeti yangu ni Tshs 548,590/=
Nb
= vielelezo vya uhalali wa umiliki vitaitajika kuwepo wakati wa mauziano
= Ingine isiwe na dosari
Mawasiliano
Njoo pm kwa mawasiliano zaidi.
All the best.