Wanajamvi Bank of Tanzania wametangaza nafasi mbalimbal za kazi. Tusiogope kuomba kwan Mungu ndo anajua nan awe nani. tusihofu kwa kujua kuwa pale kuna vigogo na watoto wa vigogo ahsanteni
Nabadili jina kuanzia leo mimi NZOLOKUNGWIPAI POMBE MAGUFULI
Sijisumbui kuomba hata kidogo
Nabadili jina kuanzia leo mimi NZOLOKUNGWIPAI POMBE MAGUFULI