Bot kuanza kuita wiki ijayo

Bot kuanza kuita wiki ijayo

Joined
Oct 13, 2012
Posts
11
Reaction score
1
Benki kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuita kwa ajili ya usaili wa nafasi zake ilizotangaza mwezi wa kumi.Msikae mbali na simu zenu.Nawasilisha.
 
Huu ni uongo, dealine ilikuwa november. hiyo short listing wamefanya lini na masikukuu yote haya?
 
Vipi kuhusu vimemo vya kutoka kwa waheshimiwa kwa ajili ya watoto wao? Na vyenyewe vinafanyiwa shortlist?
 
vp kuhusu TAKUKURU? mbona hamuiongelee wakuu??
 
Back
Top Bottom