Hata ccm ikiondoka ni bora kije chama kingine chochote au hata jeshi lakini sio hawa CHADEMA anayebisha tutatafuta
Hata ccm ikiondoka ni bora kije chama kingine chochote au hata jeshi lakini sio hawa CHADEMA anayebisha tutatafuta
Hii ni chuki and pure subjectivity. Chadema kinaundwa na watanzania na kinakua kwa hivo kitaongeza idadi kubwa ya watanzania wengine toka ccm, cuf, n.k. kuondoka kwa ccm na kuja kwa chadema hakutatokana na uchawi au wizi au vita bali kutatokana na uamuzi wa Watanzania. Think Great! chadema hakiatakuja kama kikundi kidogo cha watawala kuiondoa ccm bali wananchi ndio watakuja na mabadiliko wakiitanguliza chadema kama wanavyoweza kuitanguliza ccm. Mbona unaweweseka mchana kweupe?Hata ccm ikiondoka ni bora kije chama kingine chochote au hata jeshi lakini sio hawa CHADEMA anayebisha tutatafuta
Lazima unatoka familia ya wachawi. kuteswa kote huku na ccm wewe bado unawataka? kuna jambo, naendelea kufanya utafiti.Hata ccm ikiondoka ni bora kije chama kingine chochote au hata jeshi lakini sio hawa CHADEMA anayebisha tutatafuta