Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Tatizo si kufuta ubunge! Tatizo ni yeye anayeung'ang'ania huo ubunge. Kama anaona ubunge haulipi kwa nini alichakachua matokeo ya ubunge. Kama vipi kuna umuhimu wa kila anayetangaza nia ya kugombea tumhoji atakuwa upande wananchi au wa tumbo lake akishataja upande mmoja anaweka saini ya makubaliano ili atakapokosea itakuwa rahisi kumwajibisha