Bora Musiba angemwomba msamaha Membe yangeisha

Bora Musiba angemwomba msamaha Membe yangeisha

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
408
Reaction score
1,975
Wakati tunaomboleza kifo cha Bernad Membe najikuta nawaza bora Musiba angemuomba Membe msamaha na akasamehewa yaishe kuliko ilivo sasa

Kufariki kwa Membe hakumpi nafuu Musiba kuhusu deni zaidi ya kulikoleza zaidi maana warithi hawatapoa, Lakini kama musiba angemlilia Membe na Membe angetangaza kusamehe maisha ya Musiba yangekua salama lakini kwa sasa warithi hawawezi kusamehe watamdai mpaka centi ya mwisho
 
Wakati tunaomboleza kifo cha Bernad Membe najikuta nawaza bora Musiba angemuomba Membe msamaha na akasamehewa yaishe kuliko ilivo sasa

Kufariki kwa Membe hakumpi nafuu Musiba kuhusu deni zaidi ya kulikoleza zaidi maana warithi hawatapoa, Lakini kama musiba angemlilia Membe na Membe angetangaza kusamehe maisha ya Musiba yangekua salama lakini kwa sasa warithi hawawezi kusamehe watamdai mpaka centi ya mwisho
Kawatie moyo wandelee kuhanikiza madai watajua kwamba hawajui
 
Wakati tunaomboleza kifo cha Bernad Membe najikuta nawaza bora Musiba angemuomba Membe msamaha na akasamehewa yaishe kuliko ilivo sasa

Kufariki kwa Membe hakumpi nafuu Musiba kuhusu deni zaidi ya kulikoleza zaidi maana warithi hawatapoa, Lakini kama musiba angemlilia Membe na Membe angetangaza kusamehe maisha ya Musiba yangekua salama lakini kwa sasa warithi hawawezi kusamehe watamdai mpaka centi ya mwisho
Alipe mbwembwe zake zote hizo atashindwa kulipa kweli.
 
Kila atakaesimamia mnada,mungu Ata deal nae kama kawaida!
 
Back
Top Bottom