Wakati tunaomboleza kifo cha Bernad Membe najikuta nawaza bora Musiba angemuomba Membe msamaha na akasamehewa yaishe kuliko ilivo sasa
Kufariki kwa Membe hakumpi nafuu Musiba kuhusu deni zaidi ya kulikoleza zaidi maana warithi hawatapoa, Lakini kama musiba angemlilia Membe na Membe angetangaza kusamehe maisha ya Musiba yangekua salama lakini kwa sasa warithi hawawezi kusamehe watamdai mpaka centi ya mwisho
Kufariki kwa Membe hakumpi nafuu Musiba kuhusu deni zaidi ya kulikoleza zaidi maana warithi hawatapoa, Lakini kama musiba angemlilia Membe na Membe angetangaza kusamehe maisha ya Musiba yangekua salama lakini kwa sasa warithi hawawezi kusamehe watamdai mpaka centi ya mwisho