Dada wa Kipemba
Member
- Feb 1, 2012
- 16
- 2
Sifa kuu za kuwa dokta
i)Uvumilivu
2)Upendo
3)Huruma
4)udugu
Kwa bahati nzuri licha ya Migogoro na hali ya chumi wa madakatari waliokuwepo Zanzibar sio nzuri, lkn hawajafikia kufanya vituko hivyi.
Posho: Hivi unaweza kupoteza maisha ya watu kwa sababu ya Posho.
jee walimu waliowasemesha wao wangaligoma jee wangalipata elimu wanayoringia wao?
i)Uvumilivu
2)Upendo
3)Huruma
4)udugu
Kwa bahati nzuri licha ya Migogoro na hali ya chumi wa madakatari waliokuwepo Zanzibar sio nzuri, lkn hawajafikia kufanya vituko hivyi.
Posho: Hivi unaweza kupoteza maisha ya watu kwa sababu ya Posho.
jee walimu waliowasemesha wao wangaligoma jee wangalipata elimu wanayoringia wao?