Wadau nina laptop aina ya LENOVO (ThinkPad) mpya niliitoa hard disk ilinifanye installation baada ya kushindwa kuboot from CD, baada ya kuinstall window na kuirudishia kwenye laptop ina display vitu vifuatavyo bila kufika kwenye window Boot Menu( ATAPI CD0: MATSHITADVD-RAM UJ8CO, ATA HDD0: HGST HTS725050A7E630, PCI LAN) tab inayofuat baada ya Boot menu ni Appln Menu(setup, Diagnostic Splash screen, Lenovo Diagnostics). Mwenye idea tafadhali.....