Boogie Woogie na K Matata.....

Hey Kasiba....what did you do to her? She is so bitter and angry at you!

Did you *** her man or something??

Hahahahaa.....just asking....

Najua basi Monkey Pie....

Yaani unavyoshangaa wewe na mie ndo napigwa na butwaa hivyo hivyo. Sijui labda Dadii wangu ndo mwanaume wake, sasa sijui nani kamuibia mwenzake....

Kama ndo hivyo kuwa Dadii wangu ndo mwanaume wake mie hata simuachi Dadii akubali tuu tugawane penzi akishindwa aniachie Dadii si kwa mahaba nnayolishwa na Dadii aisee.

Vipi wewe hupati wivu? Humuonei wivu Dadii wa K' Matata?? Hahahahaa.
 

Unalo hiloo,message sent....siku nyingine kabla ya kushusha mashudu yako utafikiria Mara mbili,moja it’s soo boring,second unatujazia server na upuuzi wako...spare us....mxieww,,,,kama ni nonsense nitakuandikia kila ukiandika mashudu yako mxiewwwww,,,ciao!
 
Heheheheheheheheeey cheza Mahaba weeweee......

Wapi Dadiiiii......

Wapi Kasie......


Watu wanapata ukakasi kuchungulia mama mke akiwa uchi ila hawaachi heheheheheheheheee

Unafanya mchezo na chabo aahahahahhaaa chabo tamuu, kama hujui utamu wa chabo waulize waliokulia uswahilini na mie kigagula wao nikiwemo.

Nasikia rahaa aahahahahahahhaaa. Hivi Dadii, unajua ukiwa na kitu kinakukera kiko kooni tangu mwezi wa kwanza unataka kukitoa unajizuia hadi mwezi wa 11 mwishoni uvumilivu unakushinda unaamua kukitoa. Sasa kwa sababu ulikibana muda mrefu siku ukikitoa kinatoka bila breki wala mpangilio ni vuuup vaaaap pwaaah utasema matapishi au uhaaroo hehehehheeee. Na kama kuna watu jirani ukimaliza kuachia haja yako wanakushangaa wengine kupasuka mbavu wengine wataona huruma na imani.....

Kubana vitu ndani sio kuzuri jamani muwe mnajiachia tuu hehehehehee. Heee hivi kumbe ni nonsense. ... nlishasahau hehehe.

Nonsense hoyeeeeeeee heheheheheheheheee.

K' Mahaba.
 
Dadiii nikwambie tena, nimekumbuka kitu, hakuna raha kama kuwa na bodyguard jamani. Kila unapoenda huyu hapa, ukikohoa keshakutolea leso, ukijikwaa keshaanguka yeye kukudaka.

Naona watu wanajitolea kujiajiri kuwa ma bodyguard hadi wanajihakikishia popote ukienda na wao watakuja daah. Kasinde mie sijui ndo nyota ya jaha au Mahaba hahahahaa heeeehee wacha nicheko cheko la mtaani, hehehehehehee haaaloooooo aahahahahahahha haaaa

Hapana chezea Dadii na K' Matata, watu wana ahirisha shughuli zao kutufata popote tuendapo. Haya karibuni...... raha iliyojee kuzungukwa na watu acha niongeze maringo ya kizee aahahahahaa.

Nimejikuta namkumbuka huyu binadamu Tyta kipindi flani alijitolea sana kuwa bodyguard, sijui nani alimtumbua humu akapotea kama Ben watch8 alivyopotezwa.

Kasie Mahaba Matata.

Kasie Tosimbana Kasiba.
 

Hahaa eti nikuweke kwenye ignore list why??dont you think this is fun?? By the way wewe mbona hujani ignore? ...una enjoy as much as I do....itakua hivi hivi kila ukileta mashudu aka nonsense....okay?

Eti tunataka tumjue dadii wako , ili iweje?tum PM,tumnyakue au?? Unachekesha kweli wewe...the poor man has to keep up with embarrassment kila siku unayoandika mashudu yako,may be he is relieved na hii topic ujiassess mbwa wewe.....

Let’s goooo...
 

Hhahahahahahahaha Mahaba hoyeeeeeeee

Kasinde hoyeeeeeeee

Dadii hoyeeeeeeee

Nonsense hoyeeeeeeee

K' Matata.
 
Nonsense hoyeeeeee

Mahaba hoyeeeeee
 
Dadiii hii sentensi ya mwisho kisha naondoka hapa, ila vidole vikorofiii, vinanisukuma niandike nonsense tuu hehehhehehee

Dadiii hoyeeeeee

Kasiba hoyeeeee

Dudumizi hoyeeeee

Bodyguard hoyeeeeee

Nonsense hoyeeeeee

Ahahahahahahahhahaa



Kidaliii Pooooooh .......... Mlale naachooo kama janaaa hehehehehheheheeee.
 

Hahaaa see you in the next nonsense lol,I’m happy dose niliyokupa,itakufikirisha about your lovelife..hata kama hutaki kuadmitt lol,,Ciao
 
twende tukacheze kachiriii kachiri

Kachiriii kachiriii sagaaaa

Ddadii wangu kasafiriiii saagaaaa

Kaniachia ligomaaaa saagaaa

Na mtindo wa hariiriii saagaaa

Kachirii saagaa ntiee gomaaa

Kachirii sagaaa ntiee gomaaa...

K' Matata.
 
Kachiriii kachiriii sagaaaa

Ddadii wangu kasafiriiii saagaaaa

Kaniachia ligomaaaa saagaaa

Na mtindo wa hariiriii saagaaa

Kachirii saagaa ntiee gomaaa

Kachirii sagaaa ntiee gomaaa...

K' Matata.
uko njema madam....enjoy your monday
 
Kasie mahaba

Valee mamboo, ndo naona comment yako leo dooh, kwemaa??

Kila nikikuona nakumbuka kile kikohozi chako (KOH KOH KOH ) aambacho Ngabu alisema akupe KOFTA??? naishia kucheka sana heheheheee

Najijua mie ni mchokozi ila Ngabu ni lichokozi zaidi hehehehehe akija hapa naruka futi mia kuwa sio mimi niliyesema haya. Ila siku hizi kapunguza udomo zege anajitahidi kweli kusemeshana..... hahahahahahhhaaa.
 
Ha haa li ngabu udomo zege sio rahisi kumuisha lile... Liko lishamba sana lile sukuma
 
Ha haa li ngabu udomo zege sio rahisi kumuisha lile... Liko lishamba sana lile sukuma

Hheheheheehehee ngoja aje asome hapa mie natoka ndukii asinikute hahahahahahhaaa simooooo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…