Boogie Woogie na K Matata.....

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Kuna uzi nilitaka kuweka hapa wa mahaba, wimbo na yaliyomo yangekuwa maneno ya wimbo wenyewe.

Sijui kwanini ila nimejikuta nimebadili gia angani. Na uzi huu ulikuwa mahsusi kwa Dadii.

Kichwa cha uzi kitamfanya aelewe ni Mahaba tuu yananisumbua si jingine.

Ntafika hapo Boogie kesho jumapili mchana kisha baadae ntapotelea kusikojulikana.

Mahaba ya dhati yakikupitia saa ingine hata hujui unaandika nini na hata huelewi useme nini na wala hufikirii wataelewa nini au watasema kitu gani......

Mahaba ndo jina langu dash dash ndo mchumba wangu.

#AiilaaabbyuuuDadiiii πŸ’™.

Kasie Matata.
 
Nawaza tu na huu ubonge wangu tu dadii asije akanidondosha

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anakubeba ukiwa 🍻🍻 lazima achemke..mimi kubebwa naogopa jaman aku aniangushe..akikutengua kiuno ndo completely finished..πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹!mbwembwe zoote zitaishaaπŸ˜‚πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…