connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,778
- 3,843
Mwamba kajichanganya mtumbwi wa vibwengo
Kwa hiyo mmeamua kupanua wigo wa utekaji hadi kwa raia jirani.Mwamba kajichanganya mtumbwi wa vibwengo
Kwani katenguliwa uteuzi...🤔Mwamba kajichanganya mtumbwi wa vibwengo
Kunanini tena huko daslam?? Maana huku kijijini Mpigamiti hatufikiwi na taarifa ya habari mkuu...😶Kwa hiyo mmeamua kupanua wigo wa utekaji hadi kwa raia jirani.
Actualy hajajichanganya, hana kosa lolote kisheria is why wanashindwa kumfungulia kesiMwamba kajichanganya mtumbwi wa vibwengo
Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hiiActualy hajajichanganya, hana kosa lolote kisheria is why wanashindwa kumfungulia kesi
Incase unataka cv yake , ni kenyan photojournalist, politician, and activist, alipata umaarufu 2007-2008, alipata tuzo ya CNN africa kama mpiga picha bora 2008-2010
Na ameshiriki activitis nyingi sana kenya, ni one of reowned journalist
Kwa hiyo unajovunia kabisa huo upuuzi?Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hii
Sasa unachokataa ni nini? Yes ana tuzo.Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hii
Mnahisi yeye ndio mdukuaji aliyewadukua??Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hii