General Overseer
New Member
- Jan 14, 2026
- 4
- 3
Jana kulifanya tamasha kubwa sana la mziki la CRDB- Imbeju na Trey Songz alikuwa ndio kivutio.
Mjadala mkubwa umekuwa haswa kwenye utofauti wa uimbaji wengi wakihoji mbona alvyopanda Trey Songz mziki ulikuwa mzuri sana, sound was sounding, tofauti na ilivyokuwa walivyoimba wabongofleva.
Wadau wanasema walikuja na team yao na sound engineer wao, ndio maana alivyopanda sound ikabadilika kabisa.
Ikimaanisha sound engineers wabongo wanafeli kwenye Live? Au wasanii hawajazoea hizi kuimba live ? wamezoea kuwa na ma-dj kupiga playback?.
Kwanini Hawa masound engineers wa Bongofleva wasijifunze kutoka Kwa Ma-Sound engineers wa Gospel hasa kwenye matamashaya gospel na Kwaya, matamasha ya live mziki unalia vizuri tu.
Kuepuka hizi fedheha Ma-sound engineers wa Bongofleva Jifunze kwa Watu wa Gospel kwa maana kwao kuimba Live sio shida kabisa wanaseti vitu vinasikika.
Mjadala mkubwa umekuwa haswa kwenye utofauti wa uimbaji wengi wakihoji mbona alvyopanda Trey Songz mziki ulikuwa mzuri sana, sound was sounding, tofauti na ilivyokuwa walivyoimba wabongofleva.
Wadau wanasema walikuja na team yao na sound engineer wao, ndio maana alivyopanda sound ikabadilika kabisa.
Ikimaanisha sound engineers wabongo wanafeli kwenye Live? Au wasanii hawajazoea hizi kuimba live ? wamezoea kuwa na ma-dj kupiga playback?.
Kwanini Hawa masound engineers wa Bongofleva wasijifunze kutoka Kwa Ma-Sound engineers wa Gospel hasa kwenye matamashaya gospel na Kwaya, matamasha ya live mziki unalia vizuri tu.
Kuepuka hizi fedheha Ma-sound engineers wa Bongofleva Jifunze kwa Watu wa Gospel kwa maana kwao kuimba Live sio shida kabisa wanaseti vitu vinasikika.