Bongo watoto wa nnje yandoa ni wengi

Bongo watoto wa nnje yandoa ni wengi

Kwa sababu hawataki kuoa na wanafanya tendo la ngono badala ya tendo la ndoa.
 
Wanaogopa ndoa maana changamoto za huko ndoa ndoano.
Mastaa wengi maisha ya kuigiza
 
Ina maana atakayecoment baada ya mimi anaweza kuwa hivyo hivyo alafu hili jina kumwita mtoto wa nje mtoto wa kharam dah hili jina sio
 
Mmh. Kuna maswali ya kujiuliza ila mengine hata hayastahili kwa sababu majibu wanayo wenyewe hao wasanii.
 
Wakati tunaanza kuwa wasichana bibi yetu alituambia kama unataka kizazi cha baraka tuliza miguu yako upate Mme na uzae watt ndani ya ndoa.
 
Back
Top Bottom