hilo ni kwaya la kiislam hilo...taarab ndo kila nyumba za waislam lazima wanayo kanda walau moja...kwaya hiyo msizarau..zenji, pwani yote ndo utambulisho wao...halafu hao wanaonengua, hawana tofauti na booty dance wale wamarekani wanaovaa kichupi tu na kuigiza namna ya kufanya ngono....hawa tena wamezidi zaidi....shetani anaimaliza bongo..