Bongo Hip hop

Chid benz,one incredible,stereo na izo business moja ya kolabo bora sana
 
Chindo yupo vizur ila kwangu naona jamaa kampiku chindo cos hua hatok nje ya mada akisema anaelezea pombe ujue mpka line ya mwisho.......
Au lile goma lake la unanifurahisha

Ova
 
Mchizi wangu remix.

Oya hivi "Aquelina njoo tulimalize tatizo" ni Bongo hip-hop?
 
Ferouz ft prof Jay - starehe.
 
Jcb siyo king wa storyteller napinga kabisa wapo wengi sana wamemzidi mbali wa kwanza ni dizasta vina , chindo man , p the mc , Niki mbishi
 
Ili uamini hii mzee tafuta ngoma ya dizasta hatia IV ni noma kabisa

Na tafuta ngoma ya p the mc unajipya

Tafuta ngoma ya chindo man story ya nyokaa
 
Nikki mbishi ft prof J
Fid Q ft Nash Mc
Strerio ft Salu T
One inredible ft solo thing
Langa ft Gwair (R.I.P's)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…