Wakati wa uchaguzi waziri wa ardhi lukuki si alipiga stop bomoabomoa au ndy chaguzi finito kazi inaendelea tena baada ya kuwaingiza kingi wananchiSafi sana na bado.
swissme
tanzania watu wabishi sanaPole sana..ila hakuna namna ili nchi iweze kusonga lazima wengine waumie..
Utalipwa fidia,mambo ya mji mpya hayoNimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.
wala usiwe na wasiwasi subiri cheki yako tu ujipange upyaNimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.
Nimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.
Pole mkuu, ndio maendeleo yenyewe hayo ila nadhani mtalipwa, nasikia ni barabara kubwa inayotoka daraja la kigamboni kupitia kisiwani, maweni, mjimwema, kibugumo, gezaulole, mwongozo mpaka kimbiji.. Barabara ya ukweli infact shule ya msingi kibugumo inaliwa kama nusu, nilisikia pale geza ulole magengeni wanakula nyumba za watu balaa, ni vilio ila hamna namna ingine.. Ni kwa ajili ya maendeleo!Nimewekewa alama za kupisha ujenzi wa barabara inayotoka daraja la Kigamboni kwenye nyumba yangu. Nyumba ipo Mjimwema Maweni karibu na G 5 bar.... Mwenye kufahamu zoezi hili please atujulishe.