Bombadier imetia hasara Taifa?

Hii ni ripoti ya CAG ambayo imeanika kuhusu hii hasara kubwa. Huyu ni Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali unadhani atakurupuka na kuja na hasara kutoka kichwani kwake bila ya kuvikagua vitabu vya ATCL kwa kina ili aweze kufikia accurate conclusion!?

 
Even though, he seems to lack wisdom and patience
If your passion is to ready people you need three lots in your mind
1. Knowledge
2.wisdom
3. Understanding
No matter what will happen you will meet their dreams and be blessed.
 
Ikiwa Rais hataki takwimu ziwe wazi na Mh Nrabaliba kaamua kuzitoa basi ujue hasara ya ATCL ni zaudi ya bil 500.

Hebu turudi nyuma kwana ile bombadier ilinunuliwa bei gani hadi ituletee hasara kubwa namna hiyo?
 
Utalii angewekezaje mkuu?

Au ujui ndege na utalii ni mtambuka mkuu?
 
Misasa utalii unawekezwa kwa kupunguza gharama za ndege kwanza kutua KIA na matangazo kwa Nchi zilizoendelea kuhusu vivutio vyetu na pia kutumia mashirika ya ndege kutangaza vivutio tulivyo navyo kama Zambia na Zimbabwe wanavyoitangaza Victoria falls...SA wanavyoutangaza Table mountain wakati ni wa kawaida tuu ila wameweka lift na ipo chopa inayoweza kuwafikisha watalii kileleni...
 
Bombardier za kweli zilizobaki ni zile alizoziimba mkongwe Dully Sykes tu hizo nyingine fake fake fake mda unapita sijui zipo foleni kwenye mataa ndo zinachelewa
 
Ununuzi wa bombardier ulikuwa ni sifa za kisiasa na utawatokea puani sikh si nyingi
inaelekea unafurahia hujuma iliyofanywa...zisifanye kazi (kushikiliwa kwa baadha ya ndege hizo), ili upate cha kuikebehi serikali kwa maamuzi yake sahihi ya kutaka kufufua shirika letu wananchi la ndege. Ndiyo, nakuona unavyoikejeri serikali mitandaoni!!!

Tanzania ni nchi yetu sote mimi na wewe (kama ni raia wa Tanzania), mambo yanapoenda mrama kwa upande wa serikali yetu, tutafute namna bora ya kuondoa 'mrama' huo badala ya kejeri mitandaoni na kwingineko.
 
Hii ishu inasikitisha sana, tunaangalia hasara baada ya hasara, na hatuna la kufanya. na katika uzi huu ambao kila kitu ni wazi kabisa kwamba tumekula wa chuya, wala huoni wana-Lumumba wakijisumbua kupitia. wataunda thread zao kuhusu matibabu ya Tundu Lissu, watauliza maswali na kujibu wenyewe. mtu aliyevunjiwa nyumba yake, pamoja na fremu alizokuwa anategemea, halafu anasoma taarifa kama hizi, ndio anazidi kupoteza matumaini. ndiyo raha ya kuongozwa na wendawazimu.
 
Sizonje anatia huruma Sana. Ila kakobe alimshauri vizuri tu ATUBU.

Shauri zake

Jay One


Rais wetu ana nia njema sana ktk kujenga nchi yetu..

One thing people failed to understand ikiwepo wasomi au wabunge ni kuwa ukiwekeza hela kubwa ktk business kubwa hasa kama za Airline, RETURN ON INVESTMENTS ( ROI ) inachukua muda kuanza kupata faida.. ATCL itaanza kupata faida after 3yrs na kuendelea, sijui kwanini watu wameshindwa kuelewa hili, big investments usitegemee eti first or second year of operation utaanza kupata faida.. But pamoja na ROI niseme ukweli pia ATCL management must be overhauled..!! Kuna matatizo ktk uongozi pale..
 
Kwani walisema zitaanza kutengeneza faida immedietly? Mbona watanzania tunapenda kuvuna ambavyo hatukupanda?
 

Return gani on inverstment mkuu?the company was in operation for a long time with at least one airplane(bombardier q300)toka wakati wa JK.JPM alichokifanya ni kuwakodishia ndege(hizo ndege ATCL wamelease kutoka serikalini).Nilitegemea kama wangekuwa business mind oriented wangepaswa kutengeneza faida,kwani hamna investment cost yoyote waliyoingia isipokuwa kulipa rental fee kwa serikali.

Inshort,revenue ni ndogo kuliko operational expenses.ATCL inahitaji restructure kubwa ya organization kuendana na uwezo wake.
 
Kwani walisema zitaanza kutengeneza faida immedietly? Mbona watanzania tunapenda kuvuna ambavyo hatukupanda?
Kuliko kununua ndege kisiasa heri hizo hela zingeenda kwenye miradi iwagusao wengi kwa pamoja mfano kujenga vyuo vya veta kila kata,watu wajifunze ujasiliamali.Huwezi kuleta ndege wakati umebana uchumi hela haizunguki.Au kusoma namba walidhani haitawahusu na wagawa namba. Chochote uwafanyio wengine lzm kitarudi kwako pia.Shida ya Atcl sio ndege ni management.
 
Leo tunaongeza hasara nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…