Habarini wakuu. Naomba niwaulize swali wana jf, je kuna mtu alitumaga maombi katika hiyo kampuni tajwa hapo juu,na je walishaita watu kwenye usahili au bado??naombeni Masaada kwa anayefahamu anijuze. Thanks
Mara nyingi haya makampuni huwa wanafanaya kutangaza kazi.. ili wapate cv za watu wazitumie kuomba miradi.. hiyo nakumbuka ilishawahi nitokea nikatuma cv kumbe walikiwa wameahidiwa watapata mradi mwisho wasiku wakaangukia pua... Nashauri msipende kutuma cv zenu kwenye kampuni ambazo hazieleweki au nivizuri kupiga simu ili kupata ufafanuzi..
Habarini wakuu. Naomba niwaulize swali wana jf, je kuna mtu alitumaga maombi katika hiyo kampuni tajwa hapo juu,na je walishaita watu kwenye usahili au bado??naombeni Masaada kwa anayefahamu anijuze. Thanks
Habarini wakuu. Naomba niwaulize swali wana jf, je kuna mtu alitumaga maombi katika hiyo kampuni tajwa hapo juu,na je walishaita watu kwenye usahili au bado??naombeni Masaada kwa anayefahamu anijuze. Thanks