Ndugu zangu wana saut cha kuwasaidien ni kupiga hodi bodi ya mikopo ili wawape hela zenu,Viongozi hao wa bodi hawana jipya wamebaki kimya kutumia hela zenu kujinufaisha wenyewe.Kama ndivyo sion umuhimu wa viongozi hao kuendelea kuitwa viongozi wa bodi ya mikopo.Tumechoka kusikia kila mwaka wa masomo wanafunzi vioo vikuu wagoma kushinikiza malipo.je bodi ya mikopo haijiulizi kwann wanafunzi wanagoma?.