Nivigumu kama unakula kumkumbuka ambaye hajala kwa mujibu wa bodi ya mikopo Elimu ya juu,wale wanafunzi wa mwaka wa kwanza walioambiwa kuja kufanya marekebisho hadi leo wanajuta why walikuja chuo,kuna dogo nipo naye apa chuo anatamani kurudi home,SERIKALI ILITOA TAARIFA NZURI KWAO,LAKINI IMEGEUKA KUWA MAJUTO NA WENGI WAO NI WALE WALIOKUWA JKT,Wakubwa acheni manyanyaso haya ni maisha tu.