lenardo
Member
- Sep 2, 2017
- 15
- 2
Kwanin hii bod istumie mfumo thabit wa kuwawezesha wanafunzi kupata mikopo kwan imekuwa ikibadili badil utaratibu saiv wanadai wanafunzi wengi wamekosea kujaza tarifa zao bas bodi itoe majina ya wanafunzi waliokosea ili warudie kujaza tarifa zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app