Bodi ya mikopo wamechelewesha

Bodi ya mikopo wamechelewesha

Kuna Brother Wangu Mmoja Aliapply Chuo Mwaka 2011 Hilo Sharti La Wino Lilikuwemo Katika Fomu Ya Mkopo Kuwa Ni Lazima Utumia Black ink.
Lakini Kwa Sasa Sharti Hilo Limeshaondoshwa Katika Fomu Ya Mkopo ingawa Haikutangazwa Officialy.

Kwahiyo Nafikiria Jamaa Bado Anareference Zile Za Zamani.
Labda hivo mkuu maana this tym sijaliona hilo kwenye form na kuna jamaa last year walipata mikopo kwa blue ink
 
Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi ,picha nk ....! Ukilinganisha na mwaka Jana
Au wametusahau tena

Resources zote zimewekwa kwenye kuzui U.K..TA sasa subiri kwanza swala la ukita liishe
 
Kuna Brother Wangu Mmoja Aliapply Chuo Mwaka 2011 Hilo Sharti La Wino Lilikuwemo Katika Fomu Ya Mkopo Kuwa Ni Lazima Utumia Black ink.
Lakini Kwa Sasa Sharti Hilo Limeshaondoshwa Katika Fomu Ya Mkopo ingawa Haikutangazwa Officialy.

Kwahiyo Nafikiria Jamaa Bado Anareference Zile Za Zamani.
Yaaaah..! na ndo maana halikutiliwa mkazo
Mbali na hivyo kwa anayejua kwan rangi ya wino INA effect gani???
 
Back
Top Bottom