mpiga era
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,078
- 2,269
Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi ,picha nk ....! Ukilinganisha na mwaka Jana
Au wametusahau tena
Au wametusahau tena