Bodi ya mikopo na vyuo vya private

Bodi ya mikopo na vyuo vya private

nyerere

Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
33
Reaction score
61
Nitoe angalizo hasa kwa wale undergraduate mliochaguliwa vyuo vya private mjipange financially kuanzia sasa. Ifahamike kuwa hata upate 100% ya mkopo kutoka heslb huwa kuna nyongeza ya ada unakutana nayo hasa kwa hivi vyuo binafsi, hata kwa zile course zenye priority ya loan; mfano kozi za afya,education upande wa sayansi,kozi za uhandisi nakadhalika.

Kwa taarifa zaidi angalia TCU guide book utaona tuition fee(ada) na possible loan,ukiangalia utapata picha ya kiasi gani utapaswa kuongeza kwenye ada ya kozi uliyochaguliwa.

NB;-loan allocation itakayotolewa na heslb itatoa confirmation nzuri zaidi ya kiasi gani unapaswa kuongeza.
 
poleni sana vijana, sie tuliosoma kipindi cha JK hatukupata shida hivyo, kwa sababu alijua wa-tz wengi ni maskini na ajira baada ya kumaliza chuo tuliziona waziwazi.Sasa hivi mnapukutishwa kila siku kisha mnaitwa vilaza
 
Ivi wakuu niliangalia ada ya medical lab ya KIU kwenye guide book ya 2016 /2017 nka kuta inabidii uongeze 2.2 million sasa juzi juzi nika danload guide book ambayo ni updated ya 2016 /2017 nikaona Ada imepungua adi lak 7 kwa hiyo hiyo coarse sasa najiuliza ipi, ni Ada sahihi, kwa anae jua kuhusu ili msaada plz
 
Ivi wakuu niliangalia ada ya medical lab ya KIU kwenye guide book ya 2016 /2017 nka kuta inabidii uongeze 2.2 million sasa juzi juzi nika danload guide book ambayo ni updated ya 2016 /2017 nikaona Ada imepungua adi lak 7 kwa hiyo hiyo coarse sasa najiuliza ipi, ni Ada sahihi, kwa anae jua kuhusu ili msaada plz
Sahihi ni hiyo unayoongezea laki saba
 
Ivi wakuu niliangalia ada ya medical lab ya KIU kwenye guide book ya 2016 /2017 nka kuta inabidii uongeze 2.2 million sasa juzi juzi nika danload guide book ambayo ni updated ya 2016 /2017 nikaona Ada imepungua adi lak 7 kwa hiyo hiyo coarse sasa najiuliza ipi, ni Ada sahihi, kwa anae jua kuhusu ili msaada plz
Heslb watatoa utata ukishapewa loan allocations yako!.
 
Back
Top Bottom