Hizo taarifa zipo website ya chuo chenu au kwenye website loan boardAppeal zlishatoka siku nyingi, Mimi nimejua tangu tarehe 02 march 2016.
Wale walikuwa wa tranfer na cio walioappealKwa hapa UDSM majina kwa walioappeal yametoka mda sana nafikir yana kama more than 3 weeks iv, sa cjui kwa other colleges.
Wale walikuwa wa tranfer na cio walioappeal
Kwa vyuo vingine watakuwa wamewapotezea duuKwetu udsm yametoka kama 2 week ago... Muce na duce tayali
Ushaliwa Heslb hawajaanza kupokea maombiNdugu zangu naombeni msaada wenu
Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA
Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016
Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?
Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?
Wakuu naombeni msaada wenu
Mwenye namba ya simu au Email address
Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu