Bodi ya Mikopo kwa walio appeal

Bodi ya Mikopo kwa walio appeal

Kijaketi

Member
Joined
Aug 11, 2015
Posts
59
Reaction score
7
Habari wana jamiiforum Naomba kuuliza hivi kwa walio appeal mikopo hadi sasahivi imeshapita zaidi ya miezi mitatu hamna feedback yoyote hadi sasahivi semester inaisha au ndio wameshawapotezea
 
Ndugu yangu kiukweli unaweza ukaka mda mwingine unafikiri mpaka unataman kulia peke yako

Mimi mwenyewe nimesubiri na nikasubiri tena, nimefuatilia na nikafatilia tena, nimeuliza na nikauliza tena bila kupata majibu yaliyo sahihi kuhusu hilo swala!!

Kiukweli roho inauma sana ukiangalia familia nyumbani hawana uwezo wa kukusomesha halafu mkopo ndio hivyo tena unasumbua yani dah inauma sana!

Yani mi ningepata hata kampuni yakuingia nayo mkataba ningefanya hivyo ila tatizo sijui naanzia wapi kujua hayo makampuni na watu ambao wanaweza kunipa msaada.

Nawaomba bodi ya mikopo ebu wafanye hima juu ya hilo sisi watoto wa wakulima tunapata shida sana yani!!
 
cijaona umuhimu wa kuweka taratibu za ku appeal wakati wanajua hakuna pesa, au ndio walitaka watupige hizo elfu kumi za ku appeal
 
Wakuuu tokea muanze chuo mmesaini hata boom ? Mimi mkopo wangu ulienda udsm wakati Mimi selected IAE nimekula 524000 juz Lakini mia saba mpaka sasa sijaisaini
 
Appeal zlishatoka siku nyingi, Mimi nimejua tangu tarehe 02 march 2016.
 
Kwa hapa UDSM majina kwa walioappeal yametoka mda sana nafikir yana kama more than 3 weeks iv, sa cjui kwa other colleges.
 
Naomba kuuliza,hiv kuna mwanafunz yeyote wa MD aliyemaliza chuo miaka zaid ya mi3 iliyopita akapata nafas ya kusoma MD kisha akanyimwa mkopo na heslb kwa kigezo cha miaka hapo juu?
 
Kwani Heslb wameshatangaza kupokea maombi ya mkopo kwa academic year 2016/17????
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu

Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA

Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016

Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?

Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?

Wakuu naombeni msaada wenu

Mwenye namba ya simu au Email address

Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu
Ushaliwa Heslb hawajaanza kupokea maombi
 
Back
Top Bottom