Bodi ya mikopo huu si uungwana

Bodi ya mikopo huu si uungwana

ravinder

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
29
Reaction score
10
Leo hi bodi ya mikopo elimu ya juu imefungua mtandao kwa ajili ya waombaji waliokosa mkopo kukata rufaa na miongoni mwa vipengele vya kujaza ni mali anazomiliki mwombaji na mahali zilipo
Ivi kweli mtu mwenye mali angehangaika kuomba mkopo wa kazi ipi?
 
24d0cbe55f130466bf0ad6791c458c3f.jpg
shikamoo ngosha
 
Leo hi bodi ya mikopo elimu ya juu imefungua mtandao kwa ajili ya waombaji waliokosa mkopo kukata rufaa na miongoni mwa vipengele vya kujaza ni mali anazomiliki mwombaji na mahali zilipo
Ivi kweli mtu mwenye mali angehangaika kuomba mkopo wa kazi ipi?
Sasa kama huna mali hapo si ndio sehemu ya kuonesha huna mali na unahitaji mkopo?

Au wanatoa mikopo kwa wasiohitaji mikopo ( wenye mali) tu?
 
Hakikisha una app ya m-bet, meridian bila kusahau kusave bookmark mkekabet.com Hawa jamaa ni waaminifu sana Pesa yao haichelewi wala haina dodoso haina rufaa, haina priority
 
Hakikisha una app ya m-bet, meridian bila kusahau kusave bookmark mkekabet.com Hawa jamaa ni waaminifu sana Pesa yao haichelewi wala haina dodoso haina rufaa, haina priority
Nmekusoma ile mbaya maana jero tu unatoka na mpunga wa maana
 
Mi nilishakata tamaa diploma hakuna mkopo wakati hata mshahara hautoshi kulipa ada Hubert kairuki wenye diploma sisi ndio mwisho wetu wa elimu tumebugi men
 
Back
Top Bottom