Unamlaumu nani,bodi anahusikaje hapa,wao wameletewa sheria waitekeleze na ndio wanachofanya kama una malalamiko kawaulize waliotunga sheria hizo sheria,Bodi wanastahili wapongezwe kwa kusimamia sheria ipasavyo na si kuwalaumu lawama ambazo haziwahusu.
Unapochagua watu wasiojali maisha ya wengine unategemea nini labda