Bodi ya mikopo hampo siriasi

Bodi ya mikopo hampo siriasi

mediy dullah

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
35
Reaction score
12
Habari za wakati huu home of great thinker .Najua humu wapo wadau wengi tu wa elimu ya juu. Nataka niwakumbushe kitu bodi ya mikopo kuhusu chuo cha Bahari DMI.

Chuo cha DMI ni moja kati ya vyuo vikubwa katika kutoa maritime education africa mashariki na kati.Kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara vyuo kama hivi vipo vinne tu.Chuo kinatoa kozi kubwa mbili marine engeneering na maritime transport.

Graduate wa chuo cha DMI na ujuzi wanaoupata wanaweza kufanya kazi viwandani, kwenye vituo vya kufua umeme(power plant), baharini kwenye vyombo vya majini, kwenye meli za kuchimba mafuta na gesi, kwenye migodi na sehemi nyingine nyingi zinazuhusu matumizi ya mitambo. Kwa maana hiyo kozi zinazotolewa ni moja kati ya vipaumbele vya mh Rais.

Lakini cha ajabu bodi ya mikopo mmekuwa mkisuasua kutoa mikopo kwa wanafunzi wa hiki chuo inamaana mnakaidi agizo la mh rais la kuifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda.

Mkiulizwa wenyewe mnakiri kuna tatizo kwenye database ya majina ya wanafunzi wa DMI swali ni JE! kwa tatizo hilo uzembe ni wa wanafunzi au nyie.Na kama uzembe upo kwenu kwa nini wanafunzi ndo wawe wahanga wa uzembe wenu. Kiukweli nyie ndio mnaochangia kurudisha nyuma juhudi za mh raisi hasa ukizingatia nchi ya viwanda inategemea sana uchumi wa bahari. Vijana wamejitolea kwa sababu kazi za ubaharia ni za wito na kuhatarisha maisha lakini bado mnawakatisha tamaa.Chuo kimefunguliwa tar 31 october mpaka leo mmetoa mkopo kwa wanafunzi wawili.

Mtoto wa maskini ambae amesoma shule ya kata ada elfu 20 kwa mwaka kwa miaka minne ni 80000 Tsh akasoma a level miaka miwili ada sh 140000 Tsh halafu unategemea ataweza kulipa 1.6 milioni per one year bado na yeye hajala hajapanda gari ukizingatia chuo hakina hostels.Acheni ubabaishaji na kumpamba mh rais kwamba mmefanya kazi aliyowaagiza kwa ufanisi.Mnataka kuua taaluma ya ubaharia wakati mpaka sasa dunia ina upungufu wa 82% ya wataalamu wa fani za ubaharia.Halafu serikali inawalipa takriban walimu 55 wakiwemo doctors ,engeneers na ma captain pesa nyingi tu kwa ajili ya kuwafundisha vijana katika fani hii ya ubaharia.

Halafu kila tarehe 25 june mnaungana nao kusherehekea siku ya mabaharia duniani kwa yapi mliowafanyia.Angalieni upya mjue tatizo lipo wapi mtoe hizo allocation kwa vijana waliojitolea kwa fani hii adimu kabisa yenye changamoto nyingi idadi yenyewe ni ndogo tu watu 70Ujumbe umefika labda mjidai hamjaelewa.
 
Mnapaswa kupewa mkopo kwa kweli wahusika waifanyie kazi, hostel kumbe Hamna pale tena kwa watu 70 tuu hatari sana.
 
Habari za wakati huu home of great thinker.Najua humu wapo wadau wengi tu wa elimu ya juu.nataka niwakumbushe kitu bodi ya mikopo kuhusu chuo cha Bahari DMI.Chuo cha dmi ni moja kati ya vyuo vikubwa katika kutoa maritime education africa mashariki na kati.kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara vyuo kama hivi vipo vinne tu.chuo kinatoa kozi kubwa mbili marine engeneering na maritime transport.Graduate wa chuo cha dmi na ujuzi wanaoupata wanaweza kufanya kazi viwandani,kwenye vituo vya kufua umeme(power plant),baharini kwenye vyombo vya majini,kwenye meli za kuchimba mafuta na gesi,kwenye migodi na sehemi nyingine nyingi zinazuhusu matumizi ya mitambo.Kwa maana hiyo kozi zinazotolewa ni moja kati ya vipaumbele vya mh Rais.Lakin cha ajabu bodi ya mikopo mmekuwa mkisuasua kutoa mikopo kwa wanafunzi wa hiki chuo inamaana mnakaidi agizo la mh rais la kuifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda.Mkiulizwa wenyewe mnakiri kuna tatizo kwenye database ya majina ya wanafunzi wa dmi swali ni je!kwa tatizo hilo uzembe ni wa wanafunzi au nyie.na kama uzembe upo kwenu kwa nini wanafunzi ndo wawe wahanga wa uzembe wenu.Kiukweli nyie ndio mnaochangia kurudisha nyuma juhudi za mh raisi hasa ukizingatia nchi ya viwanda inategemea sana uchumi wa bahari.vijana wamejitolea kwa sababu kazi za ubaharia ni za wito na kuhatarisha maisha lakini bado mnawakatisha tamaa.chuo kimefunguliwa tar 31 october mpaka leo mmetoa mkopo kwa wanafunz wawili.mtoto wa maskini ambae amesoma shule ya kata ada elfu 20 kwa mwaka kwa miaka minne ni 80000Tsh akasoma a level miaka miwil ada sh 140000Tsh halafu unategemea ataweza kulipa 1.6milioni per one year bado na yeye hajala hajapanda gari ukizingatia chuo hakina hostels.Acheni ubabaishaji na kumpamba mh rais kwamba mmefanya kazi aliyowaagiza kwa ufanisi.Mnataka kuua taaluma ya ubaharia wakati mpaka sasa dunia ina upungufu wa 82% ya wataalamu wa fani za ubaharia.Halafu serikali inawalipa takriban walimu 55 wakiwemo doctors ,engeneers na ma captain pesa nyingi tu kwa ajili ya kuwafundisha vijana katika fani hii ya ubaharia.halafu kila tarehe 25 june mnaungana nao kusherehekea siku ya mabaharia duniani kwa yapi mliowafanyia.Angalieni upya mjue tatizo lipo wapi mtoe hizo allocation kwa vijana waliojitolea kwa fani hii adimu kabisa yenye changamoto nyingi.Idadi yenyewe ni ndogo tu watu 70.Ujumbe umefika labda mjidai hamjaelewa
Dah!!,hata kama unapoiti nikijaribu kusoma napatwa na usingizi.Hamna hata aya rafiki yangu???????
 
Acha nafasi katika bandiko lako linachosha kusoma pengine unazo hoja za msingi
 
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.. Sitta alitubania katiba sasa hivi yuko wapi.?
Hata hawa wana mwisho wao.
 
Hivo mabaharia ndo wanakua kama le mutuzi hivi au?
 
Habari za wakati huu home of great thinker .Najua humu wapo wadau wengi tu wa elimu ya juu. Nataka niwakumbushe kitu bodi ya mikopo kuhusu chuo cha Bahari DMI.Chuo cha DMI ni moja kati ya vyuo vikubwa katika kutoa maritime education africa mashariki na kati.Kwa nchi za kusini mwa jangwa la sahara vyuo kama hivi vipo vinne tu.Chuo kinatoa kozi kubwa mbili marine engeneering na maritime transport.Graduate wa chuo cha DMI na ujuzi wanaoupata wanaweza kufanya kazi viwandani, kwenye vituo vya kufua umeme(power plant), baharini kwenye vyombo vya majini, kwenye meli za kuchimba mafuta na gesi, kwenye migodi na sehemi nyingine nyingi zinazuhusu matumizi ya mitambo. Kwa maana hiyo kozi zinazotolewa ni moja kati ya vipaumbele vya mh Rais.Lakin cha ajabu bodi ya mikopo mmekuwa mkisuasua kutoa mikopo kwa wanafunzi wa hiki chuo inamaana mnakaidi agizo la mh rais la kuifanya tanzania kuwa nchi ya viwanda. Mkiulizwa wenyewe mnakiri kuna tatizo kwenye database ya majina ya wanafunzi wa DMI swali ni JE! kwa tatizo hilo uzembe ni wa wanafunzi au nyie.Na kama uzembe upo kwenu kwa nini wanafunzi ndo wawe wahanga wa uzembe wenu. Kiukweli nyie ndio mnaochangia kurudisha nyuma juhudi za mh raisi hasa ukizingatia nchi ya viwanda inategemea sana uchumi wa bahari. Vijana wamejitolea kwa sababu kazi za ubaharia ni za wito na kuhatarisha maisha lakini bado mnawakatisha tamaa.Chuo kimefunguliwa tar 31 october mpaka leo mmetoa mkopo kwa wanafunzi wawili.Mtoto wa maskini ambae amesoma shule ya kata ada elfu 20 kwa mwaka kwa miaka minne ni 80000 Tsh akasoma a level miaka miwili ada sh 140000 Tsh halafu unategemea ataweza kulipa 1.6 milioni per one year bado na yeye hajala hajapanda gari ukizingatia chuo hakina hostels.Acheni ubabaishaji na kumpamba mh rais kwamba mmefanya kazi aliyowaagiza kwa ufanisi.Mnataka kuua taaluma ya ubaharia wakati mpaka sasa dunia ina upungufu wa 82% ya wataalamu wa fani za ubaharia.Halafu serikali inawalipa takriban walimu 55 wakiwemo doctors ,engeneers na ma captain pesa nyingi tu kwa ajili ya kuwafundisha vijana katika fani hii ya ubaharia.halafu kila tarehe 25 june mnaungana nao kusherehekea siku ya mabaharia duniani kwa yapi mliowafanyia.Angalieni upya mjue tatizo lipo wapi mtoe hizo allocation kwa vijana waliojitolea kwa fani hii adimu kabisa yenye changamoto nyingi.Idadi yenyewe ni ndogo tu watu 70.Ujumbe umefika labda mjidai hamjaelewa.
Nimependa sana uandishi wako mkuu. Kwa kweli wakupe tu huo mkopo ili angalau ukusaidie kuchukulia madarasa ya basic writing skills. Good luck mdau....
 
Mleta mada upo na IQ ndogo sana,
Soma sheria ya mikopo inavyoelezea vigezo.

Wanatoa kwa watu wa degree tu na mabadiliko ya 2016 ndio wameweka mpaka diploma
 
Mleta mada upo na IQ ndogo sana,
Soma sheria ya mikopo inavyoelezea vigezo.

Wanatoa kwa watu wa degree tu na mabadiliko ya 2016 ndio wameweka mpaka diploma



Acha kuwa mzembe wa kufikiria ndugu yangu.Wewe unafikiri hapo nazungumzia kozi za certificate.Hizo zote marine engeneering na maritime transport na kwa level ya bachelor.
 

Attachments

  • 1479533482215.jpg
    1479533482215.jpg
    86.1 KB · Views: 50
mtie akili mkiona course ni priority sio uhakika kuwa mkopo umepata lakini wanaangalia na uwitaji wa muombaji sidhan kama katika makundi ya wanaotakiwa kupewa mkopo kuna masikini ila wewe angalia vigezo ukiwa navo ukate rufaa
 
Back
Top Bottom