Huo ushirikiano wangekuwa wanauonesha kwa kukamata waharifu na kuwafikisha polisi wangesifiwa sana, lakini wao hujichukulia sheria mkononi.Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Kwahiyo mtu kukataa gari yake isibebe maiti yenye damu ndio kuchukua maamuzi ya kuchoma moto gari yake?Ushawahukumu boda boda, na wataka kituo kifunguliwe, boda boda wa kipindi hiki wana busara sana, wana uongozi etc .... nakumbuka Prado ya kwanza kuchomwa moto, Yule Mama aliwaambia hawezi beba maiti yenye damu kwenye gari yake..... huo ndo ulikuwa mwanzo wa ugomvi mpaka kuchomwa, usiwahukumu kabla hujajua
Service Utility Vehicle -
Wewe ndio ulimshauri DC wa hai akaharibu shamba la wenyewe kwa ushauri wa kibwegebwege namna hii! Kamsaidie kulipa!Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Na walevi wa kupindukia pia.Bodaboda wengi wanavuta bangi
Gari aina ya SUV ni toleo jipya?Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Hakuna gari aina ya SUV acha kulisha watu matango porimleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Yaani mtu akatae gari yake kubeba maiti watu waitie moto unaona sawa?Ushawahukumu boda boda, na wataka kituo kifunguliwe, boda boda wa kipindi hiki wana busara sana, wana uongozi etc .... nakumbuka Prado ya kwanza kuchomwa moto, Yule Mama aliwaambia hawezi beba maiti yenye damu kwenye gari yake..... huo ndo ulikuwa mwanzo wa ugomvi mpaka kuchomwa, usiwahukumu kabla hujajua
ndio Jmbo la kujiuliza hasira zetu tutazimalzia wapi..Sasa hivi Tanzania kila mtu ana hasira
TATIZO LA ARUSHA NI CCMKuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
asee watake radhi Jama'zngu..Bodaboda nchi nzima ni kundi la wahalifu
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] umemaliza, vijiswali ingine bhana duuh asante mkuumleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Yaan nimekosa jibu la kukuambia but fikir kwanza madhara ndo ulete wivu wako hapa.Wenye magari wananyodo sana. Nawaunga mkono hao bodax2
Roho ya kimaskini inakusumbua si kingine!Wenye magari wananyodo sana. Nawaunga mkono hao bodax2