BODABODA inauzwa

watu8 naona number yako iko kwenye permanent "tigo rusha mode"!
 
Last edited by a moderator:
Aisee inataka moyo kuwa bodaboda kama hii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sasa wewe watu8,hiyo engine si itaunguza matiti ya watu.
 
Last edited by a moderator:
mimi nilifikiri hapo alipokaa dereva ndipo kungekuwa kwa abiria ili dereva akae mgongoni.
hapo ungekula vicha haswa usiku ila kazi ni kuiosha asubuhi.
haha haha hahaaaaaa....
 
mimi nilifikiri hapo alipokaa dereva ndipo kungekuwa kwa abiria ili dereva akae mgongoni.
hapo ungekula vicha haswa usiku ila kazi ni kuiosha asubuhi.
haha haha hahaaaaaa....

hii bodaboda ni spesheli kwa abiria kukaa hapo mgongoni na dereva kukaa nyuma...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…